Kwa soko la ajira lilivyo Tanzania ni wakati wa vijana kuamua kuthubutu kufanya mabotofauti tofauti ya kuichumi badala ya kubaki na kulalamika kuwa ajira hamna, ni wakati wako kijana kujiongeza na kuacha kuota ndoto na kuamka na kuifanya ndoto yako kuwa kweli, unaweza kuwa na ndoto ya kuwa;
1: mwanasiasa ni wakati wako kuonyesha mabadiliko kama damu changa na kuleta maendeleo kwa jamii inayokuzunguka nakuwa legend.
2: mfanya biashara na mwishowe kuwa na kampuni yako na kuajiri watu ambao bado wanasubiri kuajiriwa wakati wewe uliamua kuthubutu na kubadilisha maisha yako.
3:kuwa mkulima. jambo ambalo vijana wengi hawalipendi lakini ukweli kilimo kinapesa kuliko ata ukiwa na ajira nakupata mashahara.
4:mtangazaji, onyesha juhudi zako katika kazi zako huwenda itafika wakati ukaanza na stesheni moja tu lakini mwisho wa siku ukapata kampuni yako na kuajiri vijana wengi katika kampuni yako.
5:KIJANA UNAWEZA KUWA MTU YOYOTE NA KWA WAKATI UTAKAO NI WEWE TU KUAMUA KUFANYA MABADILIKO KATIKA FIKRA ZAKO NA KUONA KWAMBA KILA JAMBO LINAWEZEKANA KATIKA MAISHA YAKO.
Kila tajiri aliyeko apa duniani hakuzaliwa tajiri ila alitafuta na alithubutu ndio maana amefanikiwa
Power of positivity and daring is the perfect combination to success, when you want to have a better tomorrow you must have a planned today.
1: mwanasiasa ni wakati wako kuonyesha mabadiliko kama damu changa na kuleta maendeleo kwa jamii inayokuzunguka nakuwa legend.
2: mfanya biashara na mwishowe kuwa na kampuni yako na kuajiri watu ambao bado wanasubiri kuajiriwa wakati wewe uliamua kuthubutu na kubadilisha maisha yako.
3:kuwa mkulima. jambo ambalo vijana wengi hawalipendi lakini ukweli kilimo kinapesa kuliko ata ukiwa na ajira nakupata mashahara.
4:mtangazaji, onyesha juhudi zako katika kazi zako huwenda itafika wakati ukaanza na stesheni moja tu lakini mwisho wa siku ukapata kampuni yako na kuajiri vijana wengi katika kampuni yako.
5:KIJANA UNAWEZA KUWA MTU YOYOTE NA KWA WAKATI UTAKAO NI WEWE TU KUAMUA KUFANYA MABADILIKO KATIKA FIKRA ZAKO NA KUONA KWAMBA KILA JAMBO LINAWEZEKANA KATIKA MAISHA YAKO.
Kila tajiri aliyeko apa duniani hakuzaliwa tajiri ila alitafuta na alithubutu ndio maana amefanikiwa
Power of positivity and daring is the perfect combination to success, when you want to have a better tomorrow you must have a planned today.