Ukitaka mabadiliko yawepo Tanzania ni lazima Watanzania tubadilike kwanza,tubadili frika zetu, tukubali kubadili mifumo yetu yote kikubwa zaidi tukubaliane na mabadiliko. Mfano mzuri United States Of America mfumo wao wa SIASA uko vizuri sana na wananchi wao wanapenda mapadiliko, Raisi alieko madarakani kama hajatimiza sera zake zote alizo ahidi kipindi cha kampeni wanampiga chini wanampa mtu mwingine uongozi tena baada ya miaka minne tu bila kujali kiongozi wao anatoka kwenye chama gain ila wanaangalia liongozi huyo anasera zipi, na kama hizo sera zinataleta mabadiliko zaidi kwenye nchi yao. Lakini Tanzania mnampa mtu madaraka baada ya miaka mitano hajatimiza ata sera mbili alizo ahidi lakini baada ya miaka mitano mnamchagua mtu yuleyule na anakuja na sera zingine wakati zile za mwanzo hajatimiza na bado mnampa tena kura zetu sijui mnategemea kupata badiliko lipi wakati alishindwa kubadili nchi ndani ya miaka mitano aliyokuwa nayo, sasa anakuwa kiongozi kwa miaka kumi Tanzania inakuwa ile ile tuliyozoea tena mbaya zaidi inazidi kuwa masikini.
Tanzania ni nchi iliyobarikiwa sana kwa kuwa na rasilimali asili kama gesi, makaa ya mawe, madini, vivutio vya wanyama etc pamoja na kuwa na vitu vyote hivi Tanzania inazidi kuwa masikini ukilinganisha na Rwanda in nchi ndogo lakini ni tajiri kuliko Tanzania.
Kenya ilipata uhuru baada ya Tanzania lakini kiuchumi tunawasikilizia mbali kinyama # Tanzia tunafeli wapi is it ignorance that we ca not use our our natural resource to save our country and its people or is it that poverty has higher affinity to Tanzania?.
Tanzania ni nchi iliyobarikiwa sana kwa kuwa na rasilimali asili kama gesi, makaa ya mawe, madini, vivutio vya wanyama etc pamoja na kuwa na vitu vyote hivi Tanzania inazidi kuwa masikini ukilinganisha na Rwanda in nchi ndogo lakini ni tajiri kuliko Tanzania.
Kenya ilipata uhuru baada ya Tanzania lakini kiuchumi tunawasikilizia mbali kinyama # Tanzia tunafeli wapi is it ignorance that we ca not use our our natural resource to save our country and its people or is it that poverty has higher affinity to Tanzania?.
Tanzanite ni madini yanayopatikana Tanzania tu ndio maana yanaitwa Tanzanite lakini kwenye soko la dunia nchi ya kwanza inayojulikana kwa kuuza Tanzanite ni South Africa ikifatwa na Kenya, Watanzania tunafeli wapi?